Home Search Countries Albums

Wangu Parody (Nadia Mukami ft Sanaipei Tande)

DOGO CHARLIE Feat. JOY MUSIQ

Wangu Parody (Nadia Mukami ft Sanaipei Tande) Lyrics


We ni nani?
Unanisumbua sikujui mimi
Eti umebeba mimba yangu mimi
Ondoka tembeza huoni niko busy

Aki Charlie
Umesahau vile tumetoka mbali yeah
Unaniruka kwanini?
Siamini kumbe unakuwanga fisi yeah

Nilipata pesa kidogo
Mwenzako mi nishaomoka
Mwanamke unagawa gawa
Tafuta mwenye alikupa mimba

Ooh ni yako, mimba nabeba ni yako
Dogo ni yako, kubali sababu ni yako
Ng'o si yangu, mimba unabeba si yangu
Ng'o si yangu, tafuta mwenyewe si yangu

Inaniaffect, na suffocate mimi sipumui
Na inanichoke, inaninyonga, we hunihurumii
Kelele za chura sitambui huyu ndiye baby
Kwa nyumba hanuki harufu ya makwapa kama wewe

Unapenda kuhanya hanya 
Warembo unawadanganya
Unajua nakupenda sana
Kubali basi tuitunze mimba

Ng'o si yangu, mimba unabeba si yangu
Ng'o si yangu, tafuta mwenyewe si yangu
Ooh ni yako, mimba nabeba ni yako
Dogo ni yako, kubali sababu ni yako

Mi nitakubomoa, bomoa, bomoa bomoa
Mi nitakubomoa, bomoa, bomoa bomoa mama wee
Mi nitakuzalia, zalia, zalia wee 
Mi nitakuzalia, zalia, zalia Charlie eeh eeh

Ng'o si yangu, mimba unabeba si yangu
Ng'o si yangu, tafuta mwenyewe si yangu
Ooh ni yako, mimba nabeba ni yako
Dogo ni yako, kubali sababu ni yako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Wangu Parody (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO CHARLIE

Kenya

Dogo Charlie is an artist from Kenya signed under Layon Media. ...

YOU MAY ALSO LIKE