Home Search Countries Albums

Boomba Train

E-SIR Feat. NAMELESS

Boomba Train Lyrics


Tumekuja ku-party, DJ hebu weka tracky
Tukule hepi halafu tufungue sakafu
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba (Ahhh!)

Karibia, inakubamba
Vipi dada, shake hiyo nanda
Inaku-touch-touch, usi-relax-lax
Kwenye dance floor, show us your work-work
Unanoki, hauchoki, kwenye dance floor, hautoki
Unahisi hii mziki?
Unahisi Nameless na mimi?

It's Nameless (Ah!)
And E-Sir, in conjunction with Ogopa
Tumekuja kuhakikisha kwamba speaker zinasikika
Hey, you, mister! Are you a member?
Hey, you, sister! Wacha kulenga!
Can't you see that I’m talking to you?
Sasa weka mikono juu!

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

(Hello, Nameless, uko fresh lakini?)
Twende, Wewe, yeye, yeye, wewe
Vice versa, vile wataka
Mister, brother, wacha kuzubaa
Ukisleki hautapata

Fungua macho, floor ni yako
Cheza wimbo kama ni wako
Cheza wimbo kama ni wako, sababu huu wimbo ni wako
E-Sir, hatucheki na watu

Nameless, hatucheki na watu
Ma-emcee, hatucheki na watu
Ogopa, hatucheki na watu
Unahisi hizi flow za Africa? (Uh-huh)
Unahisi kama unakatika? (Uh-huh)

Can you feel this, front to the rear? (Uh-huh)
Can you feel this up in here?

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

Na tumekuja ku-party, ambia wenzetu, "Samahani"
Hawako nasi, hatuko nao, basi wametupa mbao
Sababu inabamba, inashika
Wingu la tisa inatufikisha
Ukiachilia mahewa, manze, DJ unatubeba

Ah (Uu-wii!) Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Boom-ba-boom-ba-ah
Boom-boom-ba
Boom-boom-boom-boom-ba (Ai-yah)
Boom-boom-ba
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber

(Ah! Ah! Ah! Ah!)
Ukikatika na hii ngoma
Just be cool as a cucumber (Ahhh!)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 0


Album : Boomba Train (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

E-SIR

Kenya

Issah Mmari Wangui (May 20, 1981 - March 16, 2003) better known by his stage name E-Sir wa ...

YOU MAY ALSO LIKE