Accueil Recherche Pays Albums

Bahati Wachana na Sisi (Fikra za Bahati Reply)

DK KWENYE BEAT

Bahati Wachana na Sisi (Fikra za Bahati Reply) Lyrics


Nairobi City King Kong
Uh naskia mtoto wa Diana unaroroa eh
Unahukumu watu umekuwa Mungu eh
Unajichocha unajua buda ya Heaven ni nani eh
Umesema yako niruhusu niseme yangu eh

Naskia Ringtone chairman umemvisha kamisi
Daddy Owen aende Radio Jambo arudiane na bibi
Kabi wa Jesus sijui unamuuliza nini
Ata ka alisosi cuzo wachana na sisi

Unasema Guardian ameoa mtu anafaa kuwa guardian wake
Wako akifika 50 atakaa kama wake
Ati Seed alikataa mimba yake 
Yaani bado unaamini Edgar na wanawake

Niko labour nazalisha wanao uchungu na mimi
After Mungu bahati niogope mimi
Afadhali niskie njaa nisikuskize mimi
Hauna sauti ni soul tu na umesahau dini

Mtoto wa mama sijui umekuwa mtoto wa nani?
Uliacha kuimbia  baba sijui unaimbia akina nani?
Izo vitu unafanya usiweke injili ndani
Unajitafutia laana umekuwa mtu bladifakin

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Bahati Wachana na Sisi (Fikra za Bahati Reply) (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DK KWENYE BEAT

Kenya

DK Kwenye Beat whose real name is David Kilonzo is a Kenyan gospel musician. He was born in Kangundo ...

YOU MAY ALSO LIKE