Home Search Countries Albums
Read en Translation

Peace & Love Lyrics


Asante Mungu kwa kila siku unayotuingezea

Ni wazi kabisa kwamba unatupendelea

Kama makosa mbona daily tunakukosea

Upendo wako kwetu ni mkubwa nashindwa kuelezea

Viumbe wako wanaishi kwa visasi

Kuonyeshana love and peace hawataki

Dunia ingetawaliwa na mioyo safi pengine kusengekuwa na polisi na risasi

Yaani kitu sio kitu tunachangiana

Ndugu mmoja kwa mwenzio mapenzi hana

Kwenye kutafuta riziki kuna mengi sana

Wapo wanaopenda utoboe

Wapo ambao hawapendi bwana

I wish tungeishi kwa peace and love

Everyone would have a decent life

Mitaani kwote kuzagae kiss and hugs

Tungeiweka hii dunia into different vibes

So let’s depend on prayers

God will lead us on the way out

And if we do good stuff when we get there

Only good stuff he gonna pay us

Tunavoishi wala so dunia inavyotaka

Ila tumependa wenyewe

Na ni rahisi we kubadilika kuanzia sasa

Change good kuishi peace and love

Yeah peace and love

(...)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

DJ SEVEN

Tanzania

Dj Seven aka 'Dj Seven Worldwide' is Harmonize Official Dj based in Tanzania. He is sig ...

YOU MAY ALSO LIKE