Usemi Sina Lyrics

Utadanganya kusema wengine huwawazi
Ukweli ni kwamba wanaume mmeumbwa vichwa wazi
Mpaka nakosa majibu
Hili penzi lishachanganywa na wivu
Mama kanifunza utulivu
Ananisisitiza usikivu baby
Sa kwanini nisitulie
Mfano unaninyima nini
Uko radhi we uumie
Furaha niipate mimi
Usemi sina (sina sina)
Cha kusema sina tena (sina, usemi sina)
Usemi sina (sina sina)
Usemi sina (sina, usemi sina)
Cha kusema sina
Mapenzi ni maua
Moyoni mwangu yanachanua
Yalishawai takaga kuniua
Usishangae najishaua
Nilipoteza hamu ya kula
Ndo mana kila anachonipa nakula
Iwe papa ama chura
Nakula ndo kisa nakula
Sa kwanini nisitulie
Mfano unaninyima nini
Upo radhi uugulie
Utamu nipate mimi
Usemi sina (sina sina)
Cha kusema sina tena (sina, usemi sina)
Usemi sina (sina sina)
Usemi sina (sina, usemi sina)
Cha kusema sina
It’s feels like i’m falling in love for the first time
I never seen love like this before
Konde music worldwide
Konde boy
Call me number one
Usemi sina
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2024
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
NANDY
Tanzania
NANDY aka The African Princess real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...
YOU MAY ALSO LIKE