Home Search Countries Albums

Sugua

DIAMOND PLATNUMZ Feat. JUX

Sugua Lyrics


Simsima, toto mpe funguo za bima
Anitoa Bongo nimefika mpaka China toto
Zipuka kishungi nimezima
Amenipa lunch nimekula mpaka dinner yeah

Santana santana
Kitandani maji maji yanapambana
Anainama kanainama
Kanavyoiokota kama ua sama 

Wakali kwili kwili sikopeshi(sikopeshi)
Namlipa mbili mbili sina breki(Sina breki)
Nakadudisha mwili kitenesi(Kitenesi)
Kamenikiri kiri mara kesi

Asa nionyeshe alichokupa mama

Sugua! sugua! sugua! 
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua! 
Sugu sugu sugu

Utapenda pini pini ama kitaka
Nikupe kwa chini chini ama kwa ngoko
Ngweli sabini bini ama kimako
Chenga mwilini lini Jonny Boko

(Brrr Okey)

Udi! udi udi udi(Udi)
Katoto kako gudi gudi gudi(Gudi)
Mudi mudi mudi mudi(Mudi)
Navyokatafuna kama fudi 

Oyaa, katoto dosalale
Eeeh dosalale
Nakapa fishi kambale
Eeeh kambale

Kibidu bidua(Oooh bidua)
Pindu pindua(Oooh pindua)
Yaani nakachimbu chimbua(Ooh chimbua)
Nambandika bandua

Oooh dada de
Yaani kama gaga
Limekwama kwenye guu

Sugua! sugua! sugua! 
Sugu sugu sugu (Mama wee)
Sugua! sugua! sugua! 
Sugu sugu sugu

Beiby, wakiweka unaweka(Weka hatuoni)
Ukichomoa unachomeka(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Komesha watoto wa town(Weka hatuoni)

Weka kama unasusa(Weka hatuoni)
Nisogezee kisambusa(Weka hatuoni)
Weka weka weka mpaka down(Weka hatuoni)
Nikomeshee watoto wa town(Weka hatuoni)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : The Love Album/Sugua (Album)


Copyright : (c) 2019 AfricanBOY


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DIAMOND PLATNUMZ

Tanzania

Naseeb Abdul Juma ( born on 2nd October 1989 ), popularly known by his stage name Diamond Platnumz, ...

YOU MAY ALSO LIKE