Peke Yako Lyrics
Nanyoosha mikono yangu juu!
Nanyoosha mikono yangu juu!
Nanyoosha mikono yangu juu
Kukusifu na kukuabudu
Nanyoosha mikono yangu juu
Kukusifu Mungu wa miungu
Uwezo wako, matendo yako
Ni dhahiri juu ya ukuu wako
Neema yako, rehema zako
Ninajua ni sababu ya pendo lako
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili
Kanuni zako hakuna wa kubadili
Unafanya mchana,usiku, alfajiri
Jina lako ni Niko ambaye Niko
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa
Kuabudiwa ni wewe
Wewe Uko juu umeinuliwa
Wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa
Kuabudiwa ni wewe
Wewe Uko juu umeinuliwa
Wa kushangiliwa ni wewe
Haulinganishwi haufanishwi
Na chochote “ehhe eeh”
Jehova Nissi
Mimi bila wewe si lolote
Haulinganishwi haufanishwi
Na chochote “ehhe eeh”
Jehova Nissi
Mimi bila wewe si lolote
Watawala milele watawala milele
Watawala milele peke yako oh
Unadumu milele unadumu milele
Unadumu milele peke yako oh
Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe
Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Nani kama wewe eeh
Nani kama wewe baba nani kama wewe
Nani kama wewe eeh
Nani kama wewe baba nani kama wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa
Kuabudiwa ni wewe
Wewe Uko juu umeinuliwa
Wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa
Kuabudiwa ni wewe
Wewe Uko juu umeinuliwa
Wa kushangiliwa ni wewe
Watawala milele
Watawala milele peke yako oh
Unadumu milele, unadumu milele
Unadumu milele peke yako oh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Peke Yako (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE