Accueil Recherche Pays Albums

Dua Lyrics


 

lalalalalalala...

Sio kama nalalama
Au nimekata tamaa
Unanijua vyema 
Ila nahisi kuzama

Tumani langu ni kwako Rabana
Hii vita mi siwezi pigana
Dunia ni pana ila nahisi nabanwa
Nishike mkono Rabana

Sina bahati sibahatikii
Nachoshika ata hakishikiki
Wema wangu malipo yake chuki

Ila najua 
tiba yangu dua
Najua utaisikia

Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia

Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia

Najiuliza sana
Zipi zangu kasoro
Nikitazama mbele 
Naona giza totoro

Nimejishusha sana
Naiteka ni kitu kolo
Mimi ni nani 
Kinishinde dhamani ata kiporo

Ila najua 
Tiba yangu dua
Najua utaisikia

Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia

Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia

Dua, dua, dua ataisikia
Usichoke kufanya dua ataisikia
Dua, dua, dua ataisikia
Usichoke kufanya dua ataisikia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Dua (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DAYNA NYANGE

Tanzanie

Mwanaisha Said Nyange aka  Dayna Nyange ,was born in Mwanza moved to Dodoma. She currently live ...

YOU MAY ALSO LIKE