Home Search Countries Albums

Almasi

MO MUSIC

Almasi Lyrics


Mimi ni dhahabu, almasi
Labda nifungue Twitter na Facebook
Uone message zao
Pengine utapata wivu wa mapenzi
Usinitese

Maana nimekuwa nyama baridi
Umeniweka kwenye jokovu jipya
Wanihifadhi kwa mapenzi ya baadae

If you don't love now
Baby nakushangaa
Uniweke wazi na mapenzi bubu siwezi
Kila kiki ushakisa uchapisa
Ni kisa kwa visa yaani ni vita
Nakueleza ukweli wa moyo

Mimi ni dhahabu, mimi ni almasi
Usinitese tese ukidhani nitakosa
Mimi ni dhahabu, mimi ni almasi
Usinitese tese ukidhani nitakosa

Maulana afadhali
Niwe na moyo wa heri, makosa mie
Mengine nayaona kwa umbali
Naigiza sioni

Laiti ungejua, tamaa yangu sidhani ii
Ungeninyanyasa nyanyasa
Kwa kunifanya nijidharau
Mengi sana nimetuliza ndani
Ila hayabebeki
Ingekuwa ushindani ninge-surrender

Mengi sana tumesameheana
Ila haudhamini 
Umegeuza upole wangu
Kwa sababu ya kuniumiza

Wajua naeza fanya yangu
Unavyofanya yako na mi nisikusumbue
Shukuru marafiki zako wananipa moyo
Nikuvumilie 

Mimi ni dhahabu, mimi ni almasi
Usinitese tese ukidhani nitakosa
Mimi ni dhahabu, mimi ni almasi
Usinitese tese ukidhani nitakosa

Wajua naeza fanya yangu
Unavyofanya yako na mi nisikusumbue

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Almasi (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MO MUSIC

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE