Home Search Countries Albums

Nikiondoka

DARASSA

Nikiondoka Lyrics


Mwingine hata miujiza hashangai
Tumeumbwa tofauti that's the reason why
Mtu akivunja moyo huwezi kumdai
Na moyo unataka ubebe kama vile yai

Unanizingua unaniplease I don't mind
Nikaja kuona si we nishai
Hakuna nilichofanya kwako nikaweza
Hakuna nilichofaa kwako nikapendeza

Kuna wakati hisia zinakupoteza
Unakuwa mfungwa nje ya gereza
Love is blind I lost my mind
Mguu nje ndani you don't concern

Labda ningekuwa na moyo wa chuma
Wivu machungu yasingeuma
Kushindana na upepo unaovuma
Hata we usingeweza

Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka

Mapenzi yetu kwangu sio utani
Ukayafanya ngazi unipande kichwani
Marafiki wanasema sikujui ndani
They say hey think like a real man

Hii ni faida ya mapenzi kama haufurahii
Chumbani unawaza mtu hakufikirii
Unayempenda kukupenda sio guarantee
I should never go back for my mystery

Ni bora kujikaza kuvumilia
Kusema kunyamaza kucheka kulia
Mambo mengine deep sana I can't say
Record yetu staki hata kureplay

Labda ningekuwa na moyo wa chuma
Wivu machungu yasingeuma
Kushindana na upepo unaovuma
Hata we usingeweza

Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Slave Become a King (Album)


Copyright : (c) 2020 CMG


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DARASSA

Tanzania

Sharif Thabit Ramadhan's, better known as Darassa, is a recording artist, performer and songwrit ...

YOU MAY ALSO LIKE