Carolina Lyrics
Carolina, mama Carolina, Carolina
Penzi la washa ka pipipili
Ndio maana nacheka ka ngiri ngiri
Najivunia tuko wawili
Waambie wenzako wasihi tuko wawili
Na bia hazishuki zaidi ya mbili
Wasije kucheza makiri kiri
Pesa natafuta kwa mikono miwili
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo kalori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll roll
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo kalori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll roll
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo ka lori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll
Mama Carolina, Carolina
Mama Carolina, wakizingua unawaroll roll
Mama Carolina, mama Carolina
Carolina, wakizingua unawaroll roll
We ndo shamba la mpunga punga
Jirani mi nakuchunga chunga
Nikipata njaa mi nakuchuma chuma
Eeeh my Carol
Oooh linda linda linda
Moyo wako beiby
Ukijakufa nitaonekana mi
Mwanzo wa kifo chako beiby
Wadanga danga wadange dange
Watoke jasho wakajipange
We carol wa moyo wangu
Napata pata raha
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo kalori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll roll
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo kalori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll roll
Leo kibosi we kibosi
Upepo ukikata nipepee kwa koti
We ndo ka lori mama wa kuwarun
Wakizingua unawaroll
Mama Carolina, Carolina
Mama Carolina, wakizingua unawaroll roll
Mama Carolina, mama Carolina
Carolina, wakizingua unawaroll roll
Njoo ujiset hapa jiseti
Njoo ujiset hapa jiseti
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Carolina (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE