Home Search Countries Albums
Read en Translation

Nahodha Lyrics


Yeah

Ye baba

Najiona wa ajabu eeh

Nikikutazama

Hivi naota ama nachanganyikiwa

Joto nalo lashuka degree, waliniliza TBT

Na moyo nshakupa naa

Na wewe ndio nahodha wa meli yangu

Huhitaji CV Ooooh

Atukinge yahilahi tuwe Salama aah

Atuepushe na mabaya ya wengine

Maana najiona

Nachanganyikiwa ooh nyikiwa

Ndaama nanonaa

Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa

Ahh kama mapenzi ni jihadi tuko peponi

Kwa jinsi tulivvopambana na hali yetu rohoni

Kuna vijiba vya nafsi wale wa roho, wa roho

Wanaosubiri tuachane hata kesho

Sisi bado, Sisi bado oooh

Sisi bado, kuachana sisi bado

Sisi bado ooooooh

Oh sisi bado ooh

Kwani Na wewe ndio nahodha wa meli yangu

Huhitaji CV ooooh

Atukinge yahilahi tuwe Salama aah

Atuepushe na mabaya ya wengine

Maana najiona

Nachanganyikiwa ooh nyikiwa

Ndaama nanonaa

Nanyonyeshwa Maziwa ooh maziwa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzania

Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...

YOU MAY ALSO LIKE