Home Search Countries Albums

Sawa Lyrics


Mmmh...mmmh mmm aah aah.
Ooh aah..

(It's D Classic)

Hello vipi hali yako?
Maana mi kwangu si shwari
Mawazo mengi ju yako

Mmmh hello vipi huyu mwenzako?
Bado mi kwangu sing'ari
Sijampata mwenzako

Na upe amani moyo wangu
Kwa hayo majaribu tu
Kula mbivu yahitaji uvumilivu
Bila ya kuchoka mama

Maana malengo yangu
Sikuwaza watanipiku
Ooh wezangu, vigogo wa mjini
Wanaojiita vipopa, ooh mama

Maana bado sipo (Sawa sawa)
Aaah, sawa!
Akili haipo, sawa! 
Mwili haupo, sawa!

Uchovu muda wote
Bado sipo  (Sawa sawa)
Oooh mimi, sawa!
Mi mwenzako, sawa! 

Maumivu sana hapo ndani
Na moyo ndo unaokabiliana
Mapenzi yataka ujasiri 
Kwa kiini lakini si shilia

Ooh maana hata chakula hakipiti
Mawazo juu yako 
Yanakabili moyo wangu tu
Oooh mapenzi kila siku nang'ang'ania

Ungeniweka tumaini na utu kwako
Na sikujua kama si mrengo wako
Muda wangu kutumia tu 
Huwezi hata jutia

Tena tatizo pendo bado lipo kwako
Utafurukuta ila mwisho wangu kwako
Mi nabaki vumilia tu
Kusubiri uwe wangu

Mwenzako bado sipo (Sawa sawa)
Aaah, sawa!
Akili haipo, sawa! 
Mwili haupo, sawa!

Uchovu muda wote
Bado sipo  (Sawa sawa)
Oooh mimi, sawa!
Mi mwenzako, sawa!

Nitagonga ngongo
Mpaka mwisho kwako
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu

Ooh maana sina chaguo
Zaidi ya wewe yako mama
Nitavumilia tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitavumilia tu tu

Nitagonga ngongo
Mpaka mwisho kwako
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria tu tu
Nitasubiria

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sawa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BARAKAH THE PRINCE

Tanzania

Baraka Andrew Odiero better known as Barakah the Prince, is a singer and songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE