Accueil Recherche Pays Albums

Nakuja Dar

BRIGHT Feat. STAMINA

Nakuja Dar Lyrics


Wamemchokoza bear
Hello brother hivi unaniskia
Mi nataka tuongee
Nisikilize kwanza, kipi yale ya familia
Nenda kando tuongee

Tunashukuru Mungu tunaamka
Maisha ni magumu kaka
Shule nimefeli nimeanguka
Na nyumba inauzwa ninapokaa

Maisha yangu doro, nakaza roho
Napiga debe ifakara tomorrow
Siku nyingine ndo madraw, sifungi goal
Najipa tumaini nitapata tommorow

Naskia una nyumba gari kaka
Mziki umekutoa
Siku hizi unatamba kila kona
Watu wote wanakujua

Mdogo wako sielewi, sielewi
Yote yameshindikana
Mbona msaada sipewi sipewi
Bora angekuwepo mama

Nakuja Dar, mi naomba unipokee kaka
Mi nakuja Dar, nitafanya kazi yoyote haya
Nakuja Dar, mi naomba unipokee kaka
Mi nakuja Dar, nitafanya kazi yoyote haya

Wanaposema mjini shule hawakukosea wahenga
Ni madarasa kusomea ndo hawakujenga
Karibu jiji mama ekee jiji funzo
Alafu stand imehama usikariri ukashuka ubungo

Ukija mjini bwana simu ni macho matatu
Na we una macho mawili so chunga usitoe la tatu
Kama hauwezi kupambana, baki tusitimbe vingi
Devo hutoziweza  bata za tipsi kidimbwi

We kazana kwenda gym tu, tanua kifua
Wezako wanaenda ATM wanatoa pesa wanamchukua
Ukipata uvimbe wa mapenzi hauna dawa ya kuchua
Unaeza kutoswa na demu ambaye wenzako wanamnunua

Na hii sio pisi bwana, zingine sio pisi kali
Kuna pisi kukukiss hadi zone kuona gari
Hawana hata kukichwa ni mawigi ya jonijo
Sio flat screen wamejazia nyuma wigowigo

Nakuja Dar, mi naomba unipokee kaka
Mi nakuja Dar, nitafanya kazi yoyote haya
Nakuja Dar, mi naomba unipokee kaka
Mi nakuja Dar, nitafanya kazi yoyote haya

Naskia una nyumba gari kaka
Mziki umekutoa
Ukija mjini bwana simu ni macho matatu
Na we una macho mawili so chunga usitoe la tatu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nakuja Dar (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BRIGHT

Tanzanie

...

YOU MAY ALSO LIKE