Home Search Countries Albums

Amenidanganya Lyrics


Kizunguungu
Nina macho ila siono
Mbele ukungu
Kina kirefu maji shingoni

Ukanizidi utundu
Kioo ukanilaza ulingoni
Fupi langu fungu
Mbio zangu zimefika ukingoni

Kumpenda kumjali yote kazi bure
Mi hanitaki tena
Anauza bei kali nisimsumbuee
Ndio anavyosema

Tena nikae mbali nisimjue
Alichomeza katema
Kafika mwisho wa safari mi nimtue
Aaaah

Mbona nilimdekeza
Penzi nikamuongeza
Namba zote nilicheza 
Aaah

Kumbe mwezangu charge ya pweza
Pakavu ye anateleza
Mzigo mzito nimeshindwa ubeba 
Aaaah

Amenidanganyaa
Tena muongo sana
Yule amenidanganya
Muongo sana

Mmmmmh eeeeh

Simu yake ina password
Ikiniita nisipokee
Nikiona zake message
Niache nisimfokee

Kadata na jinaa aah jina 
La watoto wa mjini
Mimi nyota sinaa aah sina 
Nimetoka uswahilini aah

Kumpenda kumjali yote kazi bure
Mi hanitaki tena
Anauza bei kali nisimsumbuee
Ndio anavyosema

Tena nikae mbali nisimjue
Alichomeza katema
Kafika mwisho wa safari mi nimtue
Aaaah

Mbona nilimdekeza
Penzi nikamuongeza
Namba zote nilicheza 
Aaah

Kumbe mwezangu charge ya pweza
Pakavu ye anateleza
Mzigo mzito nimeshindwa ubeba 
Aaaah

Amenidanganyaa
Tena muongo sana
Yule amenidanganya
Muongo sana

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Amenidanganya (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BRIGHT

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE