Amenidanganya Lyrics

Kizunguungu
Nina macho ila siono
Mbele ukungu
Kina kirefu maji shingoni
Ukanizidi utundu
Kioo ukanilaza ulingoni
Fupi langu fungu
Mbio zangu zimefika ukingoni
Kumpenda kumjali yote kazi bure
Mi hanitaki tena
Anauza bei kali nisimsumbuee
Ndio anavyosema
Tena nikae mbali nisimjue
Alichomeza katema
Kafika mwisho wa safari mi nimtue
Aaaah
Mbona nilimdekeza
Penzi nikamuongeza
Namba zote nilicheza
Aaah
Kumbe mwezangu charge ya pweza
Pakavu ye anateleza
Mzigo mzito nimeshindwa ubeba
Aaaah
Amenidanganyaa
Tena muongo sana
Yule amenidanganya
Muongo sana
Mmmmmh eeeeh
Simu yake ina password
Ikiniita nisipokee
Nikiona zake message
Niache nisimfokee
Kadata na jinaa aah jina
La watoto wa mjini
Mimi nyota sinaa aah sina
Nimetoka uswahilini aah
Kumpenda kumjali yote kazi bure
Mi hanitaki tena
Anauza bei kali nisimsumbuee
Ndio anavyosema
Tena nikae mbali nisimjue
Alichomeza katema
Kafika mwisho wa safari mi nimtue
Aaaah
Mbona nilimdekeza
Penzi nikamuongeza
Namba zote nilicheza
Aaah
Kumbe mwezangu charge ya pweza
Pakavu ye anateleza
Mzigo mzito nimeshindwa ubeba
Aaaah
Amenidanganyaa
Tena muongo sana
Yule amenidanganya
Muongo sana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Amenidanganya (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE