Home Search Countries Albums

Mwanao (Bonus Track) Lyrics


Niimbe niimbe na tarumbeta
Niimbe niimbe na tarumbeta
Niimbe niimbe na tarumbeta
Niimbe niimbe na tarumbeta

Hello mama kumekucha vipi na hali yako
Msalimie na baba
Salio halitoshi ni kidogo
Naamka mwana we mwana wasalimia
Ila amatoka kidogo
Na jana hatujaweza ongea maana nilitoka majogoo

Ah kibarua ndo kishaota nyasi
Nachokula pia kina ukakasi
Nitakujengea hata kama ni ya nyasi
Navuta heri na siwezi vuta nyasi

Ah hello
Mama mama mama mama mama mama
Nimepata salio
Mama mama mama mama mama mama
Ni mimi mwanao
Mama mama mama mama mama mama
Nimepata salio
Mama mama mama mama mama mama

Miezi tisa ulivumilia
Iweje mimi jua la saa tisa
Dunia ina vingi visa
Yakinishinda ulisema niende kwenye misa

Oh masikini kipenzi changu
Unashindwa jivunia
Ah enzi ya utoto wangu
Niliahidi nitakujengea

Ulishinda njaa mi na shibe
Ukachana nguo zako mi nitinge
Hospitali hadi kilinge
Niwe hadi afya niimarike

Mama mama oh mama
Mama mama, nakupenda sana
Mama mama oh mama
I love you, nakupenda mama

Ah hello
Mama mama mama mama mama mama
Nimepata salio
Mama mama mama mama mama mama
Ni mimi mwanao
Mama mama mama mama mama mama
Nimepata salio
Mama mama mama mama mama mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mwanao (Bonus Track) (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEST NASO

Tanzania

Best Nasso is an artist/songwriter  from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE