Accueil Recherche Pays Albums

Tenda Tena

BEATRICE MWAIPAJA

Tenda Tena Lyrics


 Ni muda kabla utabasamu 
Huoni matunda ya kazi yako ngumu
Kila Siku magoti kwa madhabao
Ila jibu no mbingu imenyamaza kimya
Karo ya shule na Kodi washindwa 
Utaitoa wapi

Tena maswali Ni Mengi Ni jibu tu
Umekosa
Ona Yesu anabisha anasema shida
Zimekwisha
Roho yako atuisha 
Mfungulie
Kama alitenda Yesterday atatenda leo

Hajabadilika Kamwe Kama alitenda Yesterday
Atatenda leo
Hajabadilika Kamwe

Anakuona Sanar vile umekazana
Ila bila mafanikio anaona tu
Hakuna Mbaya anasema Ila
Hauko pekee yako tu

Mungu Si Binadamu avunje agano lake
Anangoja Imani yako atimize agizo lake 
Lipi gumu kwake Hakuna lisilomshinda 

Fedha Ni zake Deni atakulipia
Ona Yesu anabisha anasema shida 
Zimekwisha
Roho yako atuisha mfungulie

Kama alitenda Yesterday atatenda leo
Habadiliki Kamwe Ule sa wa kusema 
Maneno haya bila hofu na mashaka
Usoni Sina haya
Ule saa wa kusema 
Maneno haya bila hofu na mashaka 
Usoni Sina haya
Kufuta ubaya wangu
Kuondoa mashaka na kunipaa ujasiri
Umefuta machozi yangu umerejeshwa

Umerejesha furaha yangu iliopotezwa
Umetenda Bwana Umetenda Yesu

Wewe Ni Mungu unayetenda unatenda
Unatenda tenda na tenda unatenda tenda tenda(x2)

Umenitendea Mengi Bwana
Umenitendea Mengi Mungu
Nimeziona fazili zako kwangu

Ule ubaya walionitakia 
Wewe Mungu sio kama Mwanadamu
Kila siku Kuna mema 
Kila siku Mungu unanipandisha Juu
Sifa utukufu nakupa Mungu wangu

Wewe Ni Mungu unayetenda unatenda tenda na tenda tenda na tenda unatenda tenda na tenda (x2)
 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Tenda Tena


Copyright : ©2020


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

BEATRICE MWAIPAJA

Tanzanie

  Beatrice Mwaipaja is an Activist for Jesus, Gospel Artist from TANZANIA, Wife and a & ...

YOU MAY ALSO LIKE