Accueil Recherche Pays Albums

Naanza Tena

BAHATI

Naanza Tena Lyrics


Mungu wangunaanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena

Hii ribi sandarem
Baba yoo, hmm Baba
Nyimbo nzuri nikutungie
Baba, Baba wale iwafikie eh

Uchungu wangu nikupatie, ah
Dawa yangu nitafutie
Ila shida zanisonga sana
Wakati nakosa wa kumwambia
Nimekonda sana
Mawozo ya kesho we si unajua

Ila shida zanisonga sana
Wakati nakosa wa kumwambia
Nimekonda sana
Mawazo ya kesho we si unajua

Mungu wangu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena

Unaitwa Jehovah Jairee, Jairee
Upendadalo Baba ba sina liwe
Wanakuita Jehovah Jairee, jairee
Upendalo Baba ba sin aliwe eh

Wanakuita baba wa yatima
Ume wa wajane
Wanakuita baba wa yatima

Wanakuita baba wa yatima
Me wa wajane
Wanakuita baba wa yatima

Mungu wangu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena


Ooho (aaah eh)
Yesu wangu (aaheh)
Baba yangu (aah eeh )
We si unajua
Roho yangu (aaah eh)
Tamadio langu
Mungu wangu (aah eeh )
We si unajua

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Naanza Tena (Single)


Copyright : (c) 2020, EMB Records


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

BAHATI

Kenya

Bahati est un chanteur Kenyan de musique Gospel. ...

YOU MAY ALSO LIKE