Home Search Countries Albums

Diana

BAHATI

Diana Lyrics


EMB Record

Niko vitani na moyo baby
Zaidi ya yote kumbuka jana
Unasonga, mi nasonga
Moyo unakataa. Ah!
Kinachonitia wasi wasi
Ni cha kuwaambia kanisani
Na sijafeli
Nina imani moyoni

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady

Diana (Diana)
Diana (Diana, Diana)
Wangu Diana (Diana, Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa
Naogopa, naogopa
Hunnie naogopa
Ninavyo umia bidii kwa kazi
Mbona unaondoka
Nakupenda sana
Nishawaambia mashabiki na baba
Akulinde sana
Baado nakusubire

Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Na ukambeba mwanangu
Amwite nani dady
Diana (Diana)
Diana (Diana)
Wangu Diana (Diana)
Nisikize Diana (Diana, Diana)

Ina maana huoni uchungu napitiaa
Naikimbia shida nilikotoka unajuaa

Diana (Diana)
Diana (Diana)
Diana, Diana...
Diana, Diana...
Shallzbaro
Ulivyobeba virago vyako
Kanisahau mie
Naukambeba mwanangu
Amwite nani dady

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Diana (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

BAHATI

Kenya

BAHATI is a Gospel singer & entrepreneur from Kenya. He is also the CEO of EMB(Eastlands Most Be ...

YOU MAY ALSO LIKE