Naanza Tena Lyrics
Mungu wangunaanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Hii ribi sandarem
Baba yoo, hmm Baba
Nyimbo nzuri nikutungie
Baba, Baba wale iwafikie eh
Uchungu wangu nikupatie, ah
Dawa yangu nitafutie
Ila shida zanisonga sana
Wakati nakosa wa kumwambia
Nimekonda sana
Mawozo ya kesho we si unajua
Ila shida zanisonga sana
Wakati nakosa wa kumwambia
Nimekonda sana
Mawazo ya kesho we si unajua
Mungu wangu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Unaitwa Jehovah Jairee, Jairee
Upendadalo Baba ba sina liwe
Wanakuita Jehovah Jairee, jairee
Upendalo Baba ba sin aliwe eh
Wanakuita baba wa yatima
Ume wa wajane
Wanakuita baba wa yatima
Wanakuita baba wa yatima
Me wa wajane
Wanakuita baba wa yatima
Mungu wangu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Nipe nguvu naanza tena
Ah tena, tena
Naanza tena
Ooho (aaah eh)
Yesu wangu (aaheh)
Baba yangu (aah eeh )
We si unajua
Roho yangu (aaah eh)
Tamadio langu
Mungu wangu (aah eeh )
We si unajua
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Naanza Tena (Single)
Copyright : (c) 2020, EMB Records
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
BAHATI
Kenya
BAHATI is a Gospel singer & entrepreneur from Kenya. He is also the CEO of EMB(Eastlands Most Be ...
YOU MAY ALSO LIKE