Home Search Countries Albums

Mtaachana Tuu

BAHATI Feat. DIANA MARUA

Read en Translation

Mtaachana Tuu Lyrics


(EMB Records)

Wanacommenti, Insta Twitter nawacheki
Wanadai mtaachana tu
Wanacommenti, Chibu na Zari walidate
Ata na nyinyi pia mtaachana tu

Omuwano, kuni na munji
Hegu simunange
Dada ukoze bingi

Sura ya mama urembo kwa face
Nilikutafutanga aah kama shilingi
Ombi la kwangu niahidi mi nawe milele
Sije tengana yashinde maneno ya wale

Wanaosema eeh
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu

Shukurani watoto umenipa warembo
Ka we mama yao
Na bado una joto la mimba
Na we mama lao

Naona mitusi ya Insta na Twitter
Ni kawaida yao
Ametukinga Mungu jamani
Na maneno yao

Hisia zangu nakupa nibebebe
Na moyo wangu pepete
Siri zangu nitunzie
My one and only

Hawajui tuliumbiwa pamoja
Mi nawe mtu mmoja 
Niite Adamu wewe Hawa eeh

Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu

Mara wanasema yaliyopita
Ulikuwa na yule
Wanatamani nikuache usogee wakule
Na watangoja sana aah sana
Hadi kifo hatutaachana tu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mtaachana Tuu (Single)


Copyright : (c) 2020 EMB entertainment.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BAHATI

Kenya

BAHATI is a Gospel singer & entrepreneur from Kenya. He is also the CEO of EMB(Eastlands Most Be ...

YOU MAY ALSO LIKE