Mtaachana Tuu Lyrics

(EMB Records)
Wanacommenti, Insta Twitter nawacheki
Wanadai mtaachana tu
Wanacommenti, Chibu na Zari walidate
Ata na nyinyi pia mtaachana tu
Omuwano, kuni na munji
Hegu simunange
Dada ukoze bingi
Sura ya mama urembo kwa face
Nilikutafutanga aah kama shilingi
Ombi la kwangu niahidi mi nawe milele
Sije tengana yashinde maneno ya wale
Wanaosema eeh
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Shukurani watoto umenipa warembo
Ka we mama yao
Na bado una joto la mimba
Na we mama lao
Naona mitusi ya Insta na Twitter
Ni kawaida yao
Ametukinga Mungu jamani
Na maneno yao
Hisia zangu nakupa nibebebe
Na moyo wangu pepete
Siri zangu nitunzie
My one and only
Hawajui tuliumbiwa pamoja
Mi nawe mtu mmoja
Niite Adamu wewe Hawa eeh
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Mara wanasema yaliyopita
Ulikuwa na yule
Wanatamani nikuache usogee wakule
Na watangoja sana aah sana
Hadi kifo hatutaachana tu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Mtaachana Tuu (Single)
Copyright : (c) 2020 EMB entertainment.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BAHATI
Kenya
BAHATI is a Gospel singer & entrepreneur from Kenya. He is also the CEO of EMB(Eastlands Most Be ...
YOU MAY ALSO LIKE