Home Search Countries Albums

Jinsi Nilivyo

ALI MUKHWANA Feat. TUMAINI AKILIMALI

Jinsi Nilivyo Lyrics


Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Naja Kwako
Jinsi nilivyo nipokee  

Baba nikikumbuka ulikonitoa
Ulinitoa mbali Baba eh
Nikulinganishe na nani Baba haulinganishwi
Siwezi siwezi bila wewe
Ndiposa nasema jinsi nilivyo naja kwako
Wewe ni mchungaji wangu
Wewe ni njia yangu ya uzima
Jinsi nilivyo Bwana nipokee
Bila wewe nitakuongee na nani
Bila wewe siyawezi eeh
Jinsi nilivyo Bwana nipokee  

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Naja Kwako
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo nipokee  

Kila mwenye pumzi akuhitaji wewe
Kila ana uhai Mungu ana haja nawe
Kila mwenye pumzi akuhitaji wewe
Kila ana uhai Mungu ana haja nawe
Nami nina haja nawe Yesu
Jinsi nilivyo nakuhitaji tu
Nina haja nawee jinsi niliyo

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo nipokee

Tunaungana na maserafi na makerubi
Jinsi nilivyo naja kwako
Nimejaribu Bwana wanadamu Baba
Wanadamu eeh wana mambo yao
Wananihukumu na kusema Baba
Mimi si wa haki eeh

Toka nikujue Mungu wangu
Umebadilisha maisha yangu
Tangu nikujue mwokozi wangu
Sijawai jutia

Nilipokupokea mwokozi Yesu
Sijawai juta hata siku moja
Kumbe kwako kuna faida
Kukujua ni muhimu sana
Naja mbele zako Baba

Jinsi nilivyo Bwana
Jinsi nilivyo
Jinsi nilivyo Bwana
Nipokee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 0


Album : Jinsi Nilivyo (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALI MUKHWANA

Kenya

Ali Mukhwana is a musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE