Mchepuko Lyrics

Unapoelekea mchepuko wangu
Unanichosha mwenzenu
Wa kumliza liza mke wangu
Jamani unanichosha mwenzenu
Hata kama niko nawe kimwana
Utulivu unatakiwa
Mimi bado nina mwenyewe kimwana
Utulivu unatakiwa
Unamrusha roho kwanini?
Unamtambia amekosa nini
Unaharibu hivyo, nyumbani
Ananililia kila siku mimi
Na unajua kumwacha siwezi
Kanizalia watoto mwenzako
Nguvu za kushaua unaharibu kichizi
Unanipa changamoto mwenzako aah
Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig
Hata kama sijakupa hela
Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi
Kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Nakupa mapesa unaninita sponsor
Unaniongopea unanikosea
Tatizo ni hicho kishepu na sura chako
Ndo kinanipa mawazo mwenzako
Nashindwa kukuacha mwenzako
Oooh nitafilisika juu yako mchepuko
Unamvalia mini akivaa dera
Unachenjigi mawig
Hata kama sijakupa hela
Wewe una iPhone mwenzako ana Motorolla
Unashindana na Gigi
Kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Mchepuko, mchepuko
Unaumiza mke wangu
Anakujua, anakujua
Unavyomjua mama watoto
Atakufanyizia siku moja
Anakujua, anakujua
Unavyomjua mama watoto
Atakufanyizia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Mchepuko
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ASLAY
Tanzania
Isihaka Nassoro aka Dogo Aslay is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...
YOU MAY ALSO LIKE