Home Search Countries Albums
Read en Translation

Sina Lyrics


Ladies and gentleman

Jay once again

Ona nananah

Ona nananah

Leo mimi hadharani

Nakupa vyeo

Manyota nyota kibao

Kama police

Umenipa faraja

Toka umenipa hiki cheo

Na kwa upande wangu

Mi sina kipingamizi

Kama mapenzi

Macho yangu ukiyatazama

Ukiyatazama, yatakwambia

Nishajiweka kwako ujue

Sa itakua mbaya ukinidanganya

Nitatangatanga

Kwenye hii dunia

Ooh sina pakukimbilia

Anhaa basi na wewe usicheze

Na zangu hisia

Taratibu taratibu na moyo wangu

Nisije kuumia

Onhooo ooooh sina

Pakukimbilia

Sina ooh sina

Pakukimbilia

Oooh basi na wewe usicheze

Na zangu hisia

Basi taratibu taratibu na moyo wangu

Nisije kuumia

Onhooo sina

Pakukimbilia

Si unajua uwezo sina

Wakupigana nitaumizwa

Mwili wangu wa mapenzi

Basi nitunzie huba langu

Usijaribu kunipima

Ukanichota ukanimimima

Ukanichanganya na wengi

Hapo ndo pressure kizungu zunguu

My sweet penzi sio kisinia

Kwa bonge au kwa shishi

Watu kukigombania

My darling penzi sio kisinia

Eti kwa esha buheti

Watu kukifakamia

Kama mapenzi, macho yangu ukiyatazama

Ukiyatazama, yatakwambia

Nishajiweka kwako ujue

Sa itakua mbaya ukinidanganya

Nitatangatanga

Kwenye hii dunia

Ooh sina pakukimbilia

Anhaa basi na wewe usicheze

Na zangu hisia

Taratibu taratibu na moyo wangu

Nisije kuumia

Onhooo ooooh sina

Pakukimbilia

Sina ooh sina

Pakukimbilia

Oooh basi na wewe usicheze

Na zangu hisia

Basi taratibu taratibu na moyo wangu

Nisije kuumia

Onhooo sina

Pakukimbilia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE