Sina Lyrics

Ladies and gentleman
Jay once again
Ona nananah
Ona nananah
Leo mimi hadharani
Nakupa vyeo
Manyota nyota kibao
Kama police
Umenipa faraja
Toka umenipa hiki cheo
Na kwa upande wangu
Mi sina kipingamizi
Kama mapenzi
Macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya
Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia
Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Basi taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo sina
Pakukimbilia
Si unajua uwezo sina
Wakupigana nitaumizwa
Mwili wangu wa mapenzi
Basi nitunzie huba langu
Usijaribu kunipima
Ukanichota ukanimimima
Ukanichanganya na wengi
Hapo ndo pressure kizungu zunguu
My sweet penzi sio kisinia
Kwa bonge au kwa shishi
Watu kukigombania
My darling penzi sio kisinia
Eti kwa esha buheti
Watu kukifakamia
Kama mapenzi, macho yangu ukiyatazama
Ukiyatazama, yatakwambia
Nishajiweka kwako ujue
Sa itakua mbaya ukinidanganya
Nitatangatanga
Kwenye hii dunia
Ooh sina pakukimbilia
Anhaa basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo ooooh sina
Pakukimbilia
Sina ooh sina
Pakukimbilia
Oooh basi na wewe usicheze
Na zangu hisia
Basi taratibu taratibu na moyo wangu
Nisije kuumia
Onhooo sina
Pakukimbilia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
JAY MELODY
Tanzania
Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...
YOU MAY ALSO LIKE