Home Search Countries Albums

Marioo

ASLAY

Marioo Lyrics


Baby nipe nkatumie
Nisipo deka kwako
Nikadeke wapi mie?

Nataka gari uninulie
Nataka pamba kali nipendeze
Na mimi wanisifie (Wanisifie)

Mi kitandani fundi
Nafanya unalia kama bundi
Uo wivu wako sipendi
Nipe pesa mi nikale tungi

Nakufundisha mapenzi
Japo una umri wa shangazi
Nakudatisha kichizi
Mpaka mume wako unamuona makuzi

Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini?
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni badae

Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipepese nikupe ukitakacho

Oh iyee mama
Anataka pesa hana aliniomba
Toka jana anataka sare
Aende zake kwenye ngoma mmmmhhhhh

Basi mpe
Si umependa boga penda na ua lake
Akinuna
Atafanya zifugwe listi zote

Napatapata vitisho nikiwa kitaani
Mumeo anataka kuniua eti kisa nini?
Kumbuka nina mwili wa mapenzi sina mwili wa ngumi
Ila akitaka ndondi aende ulingoni baadae

Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipe pesa nikupe ukitakacho
Nibebe kwa mbeleko kama mtoto (Kama mtoto)
Nipepese nikupe ukitakacho

Ah mi ndo Mario, Marioo
Mi ndo Mario, tabibu mkubwa wa penzi lako
Mi ndo Mario, Marioo
Mi ndo Mario, tabibu mkubwa wa penzi lako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Marioo (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ASLAY

Tanzania

Isihaka Nassoro  aka Dogo Aslay  is a musician from Tanzania. Born in 1995. ...

YOU MAY ALSO LIKE