Hauna Cover (Aslay) Lyrics

Wo wo wo
Yeah yeah
Ilikuwa inakuumaga ukiniona nae
Ilikuwa inakuchomaga mwanaume wewe
Ulitamani wewe ndo uwage mie
Ndo maana nilipomuacha ukaamua umuoe
We hauna, we hauna
Hauna moyo kabisa hauna
We hauna, we hauna
Ulumagiki hata kulika
Oooh wewe
Alipopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji
Aah shemeji ooh
Shemeji shemeji oooh
Kiroho upande, shemeji oooh
Shemeji shemeji oooh, kishingo upande
Mara oh tunaendana unaomba tusije kuachana
Eti unatupendaga sana kumbe ulinichora
Kumbe nyuki mwenye laana
Kaniacha manundu ya machana
Nilivyo beep ukapiga tu mapema
Ukasepa na sinyora
Kama masihara ukamvisha na shela
We mwana ni mbaya, oh ni mbaya
Sijui ulimpa dawa au ndo hela
Ila yote sawa
Mi nasema Inshallah Mungu atalipa aah
Alipopika chakula
Ulikuwa wakaa jikoni
Sikujua ni kwanini
Nilijua ushemeji tu
Kumbe kule mlikua
Mnayapanga ya kwenu nyinyi
Mpaka umemteka
Umekua gaidi juu
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji oh
Nimekubali nimekubali
Nimekubali nitamwita shemeji
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Hauna Cover (Aslay) (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ANJELLA
Tanzania
Anjella real name Angelina Samson George (born 03 October 2000) is a talented singer/songwriter from ...
YOU MAY ALSO LIKE