Home Search Countries Albums

Wewe Tu

ALLY MAHABA

Wewe Tu Lyrics


Baby nifungilie Shindilia zenye topazi
Ndio maana Sitaki nibanduke kwako
Tena nitulie
Tuya tuya halali kichunga
Nidunde Dundee na Moyo wako
Uko kuvumilia Ni mtihani Tosha
Kufa Kupona Upo Nami
Na ungenikubali hata ningekutosha na Moyo
Wa Simba
Wa Kusema Waseme
Kenya Power
Wakazime umeme
Kwangu wewe ndio dawa unaefanya niheme
Ila Kuchepuka Chepuka wewe umefanya nikome
Taabu na ukasela kasela
Niache ukapera kapera
Kwa Mandela Mandela tusherekee
Watambue mashemela shemela
Na kidemela demela na wale wakukera
Na wale wa kukera kera wasituzoee

Ni wewe tu
Usiwe na wasiwasi
Ni wewe tu
Wewe ndio mwenye nafasi
Ni wewe tu
Nikufanye Moyo unapiga Kasi
Ni wewe tu
Usije ukatonesha Kidonda
Ah ah ah ah

Nakondeshwa na asenali
Unanilambisha Asali
Nakula we mdomo kwa mdomo
Unanilisha
Sijali wanayoyasema majirani
Usiku watalala tu
Chali washashindwa Visirani
Wote wanakulaumu
Ata wawe Kenya Power
Wakazime umeme
Kwangu wewe ndio dawa unaefanya niheme
Ila Kuchepuka Chepuka wewe umefanya nikome
Taabu na ukasela kasela
Niache ukapera kapera
Kwa Mandela Mandela tusherekee
Watambue mashemela shemela
Na kidemela demela na wale wakukera
Na wale wa kukera kera wasituzoee

Ni wewe tu
Usiwe na wasiwasi
Ni wewe tu
Wewe ndio mwenye nafasi
Ni wewe tu
Unafanya Moyo unapiga Kasi
Usije ukatonesha Kidonda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Wewe Tu (Single)


Added By : Its marleen

SEE ALSO

AUTHOR

ALLY MAHABA

Kenya

Ally Mahaba is an artist from Kenya signed under ATL MUSIC. ...

YOU MAY ALSO LIKE