Nikuabudu Lyrics

Hakuna Mungu mwingine
Kama na wewe Yesu
Tunaliabudu jina lako mfalme
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Wewe ni zaidi ya mshindi
Wewe ni zaidi ya mshindi
Tangu enzi unaitwa Mungu
Unaitwa Mungu mwema
Ni nani mwingine aliye kama wewe
Wewe bwana
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Hakuna kama wewe Yesu
Hakuna mwenye neema kama yako mfalme
Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba
(Unitunuku hivi baba)
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa uhai bwana
Mausia yako kaiweka sahihi
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Katika majaribu Ayubu alishinda
Wana wa Israeli ukawashindania
Na mimi najua utanishindania
Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe
Kile nakuomba mpe sifa zote
Kwako Yesu
Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote
Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote bwana
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Watakusema (Album)
Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE