Home Search Countries Albums

Nikuabudu

ALI MUKHWANA

Nikuabudu Lyrics


Hakuna Mungu mwingine 
Kama na wewe Yesu
Tunaliabudu jina lako mfalme

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Wewe ni zaidi ya mshindi
Wewe ni zaidi ya mshindi
Tangu enzi unaitwa Mungu
Unaitwa Mungu mwema
Ni nani mwingine aliye kama wewe
Wewe bwana 

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Hakuna kama wewe Yesu
Hakuna mwenye neema kama yako mfalme

Kwani mi ni nani unitunuku hivi baba
(Unitunuku hivi baba)
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine
Umenipa uhai bwana 
Mausia yako kaiweka sahihi

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Katika majaribu Ayubu alishinda
Wana wa Israeli ukawashindania
Na mimi najua utanishindania
Yote unayopitia Mungu yuko pamoja na wewe

Kile nakuomba mpe sifa zote
Kwako Yesu

Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote
Sifa na maabudu, zote ni zako
Nakupa zote bwana

Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako
Sifa na maabudu, zote ni zako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Watakusema (Album)


Copyright : (c) 2020 Still Alive Production Limited.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ALI MUKHWANA

Kenya

Ali Mukhwana is a musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE