Home Search Countries Albums
Read en Translation

Umenibeba Lyrics


Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Hakuna kitu nzuri
Kama kuweka imani ndani ya Mungu
Hakuna jambo nzuri
Kama kuweka imani ndani ya Mungu

Yeye hajui dissapointment
Yeye haelewi kuvunja moyo
Kumtegemea huepusha mambo mengi
Kumtumainia kunasaidia

Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza
Mungu napenda unavyofanya ahadi zako
Kwanza huwezi ahidi ukose kutimiza

Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Haijawa rahisi kufika hapa
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba
Umenibeba, umenibeba
Ni mkono wa Mungu umenibeba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Umenibeba (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TUMAINI AKILIMALI

Kenya

Tumaini Akililimali also known as Pastor Tumaini is a Kenyan gospel artist best known for 'Ni We ...

YOU MAY ALSO LIKE