Home Search Countries Albums

Mwenye Enzi

ALI MUKHWANA

Mwenye Enzi Lyrics


Ni ni ni
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)
Tunainama mbele zako tukisema
E wewe mungu wastahili
Wewe ndiwe kiongozi mwema
Mfariji mwema twakwabudu
Nikisema mimi ni msafi
Nitakua mimi na jidanganya
Wewe ndiwe kiongozi mwema
Mfariji mwema twakwabudu
(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)

Wewe ndiwe kiongozi wangu
Tena mchungaji wangu wa karibu
Wewe ndiwe kiongozi wangu
Tena mchungaji wangu wa karibu

Mimi ni nani na bwana wangu nisikusifu
Mimi ni nani na bwana wangu nikuabudu
Uliniumba mungu wangu kwa mfano wako
Tunasema bwana wangu uinuliwe  

(Tuna kuabudu mungu mwenye enzi
Tuna kuabudu mungu mwenye enzi)


Halleluyah
Nani kama wewe Yesu
Nani kama mwenye upendo kama wako
Nani aliyeumba mwanadamu
Kwa mfano wake Yesu
Nani mwenye neema kama zako hee
Popote  ulipoenda Yesu ulitenda mema
Tenda mema siku ??? mfalme wa amani
Nani kama wewe unastahili kuabudiwa
Unastahili kuabudiwa unastahili

Halle, halleluyah
Wastahili
Halle, halleluyah
Wastahili
Halle, halleluyah
Wastahili
Halleluyah Wastahili
Halleluyah Wastahili

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mwenye Enzi (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ALI MUKHWANA

Kenya

Ali Mukhwana is a musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE