Halua Lyrics

Bado nina imani na penzi
Bado nina imani na penzi
Usinipime mizani na kusurender
Nilipotoka nilifungasha
Sirudii kwenye kiporo
Kilichochacha
Navopendwa nadekezwa
Yaani ni masham sham
Unanimaliza unaposimamia kuchao
Ooh baby boo nikoleze
Mwenzako nijisikie
Nibembeleze nideke
Nipate kukusifia
Nikonyeze nijiing'ate
Unipoteze maabani
Nikonyeze nijiing'ate
Unipoteze maabani
Nibebene nichekeche
Nione raha nikiwa nawe
Nilainishe nitulie
Nione raha nikiwa nawe baby
Nidekeze mi kama mtoto (Halua halua)
Sijutiii kuwa nawe baby (Halua halua)
Penzi bila hiri (Halua halua)
We ndo wangu wa moyo (Halua halua)
Bado nina imani na penzi
Kweli mapenzi shubiri
Na siri ya wawili twapendana
Mmmh
Kukuacha ni unafiki
Ila mambo ni shwari
Kipenzi changu mie
Ooh nah nah nah
Kwenye kisiki cha mapenzi
Kwako mi ndo nimeganda
Taratibu tiba napata
Kwa kuringa na kuvimba
Moyo wangu umeutawala
Ukinitouch kila mara
Ooh baby boo nikoleze
Mwenzako nijisikie
Nibembeleze nideke
Nipate kukusifia
Nikonyeze nijiing'ate
Unipoteze maabani
Nikonyeze nijiing'ate
Unipoteze maabani
Nibebene nichekeche
Nione raha nikiwa nawe
Nilainishe nitulie
Nione raha nikiwa nawe baby
Nidekeze mi kama mtoto (Halua halua)
Sijutiii kuwa nawe baby (Halua halua)
Penzi bila hiri (Halua halua)
We ndo wangu wa moyo (Halua halua)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Halua (Single)
Copyright : ©2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
AKEELAH
Kenya
Akeelah is an artist from Mombasa, Kenya. Signed under Shirko Media Entertainment. ...
YOU MAY ALSO LIKE