Home Search Countries Albums

Nikuache

AKEELAH

Nikuache Lyrics


Haaa haa.. (Shirko Media)

Najiona najiuliza
Kwa nini macho yangu mekundu
Kwa taarifa yako nimetoka kulia
Hivi utaniumiza hadi lini
Litundu la moyo wangu
Mie mwenzako nipate tulia

Japo moyoni, moyoni
Nimejawa na subira, subira
Kuishi na wewe imekuwa kazi
Naona kama inashindikana kweli
 
Kama siyaoni vile, inanitia hasira
Madhila wanifanyia wazi
Kuishi nawe mi naona nishafeli

Nichambane na madem wako
Japo mi huwaga sishiki simu yako
Hivi kwa nini hawatosheki kwako
Waniandame mie

Kunigombeza we ndio zako
Kisa tu naishi kwako
Ushashukisha thamani yako
Kwangu mie

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Kama kufumania nimekufumania
Sana na Tiffah nikakusamehe, haijatosha
Kusudi unarudia tena kwa kutia nia
Naona sifa mwanamume, umenichosha

Sina jeuri ya kujibu mi najiliza
Mapungufu yangu bubu nakusikiza
Hunaga cha taratibu wakandamiza
Mwanamume una gubu kupitiliza

Nichambane na madem wako
Japo mi huwaga sishiki simu yako
Hivi kwa nini hawatosheki kwako
Waniandame mie

Kunigombeza we ndio zako
Kisa tu naishi kwako
Ushashukisha thamani yako
Kwangu mie

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Dawa dawa yako nikuache
Nijiweke mbali nawe
Sawa sawa yako nikuache
Kama mawingu na mawe

Dawa dawa yako nikuache
Penzi lako kaligawe
Sawa sawa yako nikuache
Mi utaniumizaa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nikuache


Copyright : (c) 2020 Shirko Media.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AKEELAH

Kenya

Akeelah is an artist from Mombasa, Kenya. Signed under Shirko Media Entertainment. ...

YOU MAY ALSO LIKE