Home Search Countries Albums

Hamida Lyrics


Uwezo wako machachari naujua mimi
Kunichanganyachanganya,tomato maini
Mixer kachumbali,mi niseme nn
Ukanitapanyatapanya,ukanitupa chin

Ivoo naogopa naogopa
Ya penzi maradhii,yananisokota
A ilooo,uno feni mota
Umeniacha mi nani,ataniokota

Hey
Uwiii hamida kaniacha,kaniacha hamida kaniacha
Cjuui ni wap ntampata,ntampata ni wap ntampata
Uwiii hamida kaniacha,kaniacha hamida kaniacha
Cjuui ni wap ntampata,ntampata ni wap ntampata

Hamida,hamida,hamida
Hamida,hamida,hamida
Hamida,hamida,hamida
Hamida,hamida,hamida

Hamida kavunja my heart
Hamida hajibu my chat
Hamida unanliza kidume kichiz,hamida  kuniona hautaki

Hamida kavunja my heart
Hamida hajibu my chat
Hamida unanliza kidume kichiz,hamida  kuniona hautaki
Roho yangu,wewe number one wewe number one wewe number one
Macho yangu,cion tena cion tena cion tena

Hamida,hamida,hamida
Hamida,hamida,hamida
Hamida,hamida,hamida
Hamida

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Hamida (Single)


Added By : Agripa Music

SEE ALSO

AUTHOR

AGRIPA MUSIC

Tanzania

Agripa Music is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE