Flora Lyrics

Sasa inatosha kuwa single
Nimepata baby kipenzi cha roho
Ananipenda kweli si mchezo
Mwaka hauishi navyotajika
Tabia tunaendana tunafanana
Nikija itwa baba naye aitwe mama
Naomba kwa Maulana awe mke mwema
Isije mbele mbele siku akanichanganya
Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..
Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani
Kukuacha we haiwezekani, flora
Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani
Kukuacha we haiwezekani, flora
Nipeleke unavyotaka
Kwangu -- sina kama toy toy
Kile unachofanya nafurahi rahi
Moyo unakupenda
Nizamishe kwenye kina upendo wako
Utaniua kwa mapenzi yako mama ona
Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..
Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani
Kukuacha we haiwezekani, flora
Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani
Kukuacha we haiwezekani, flora
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Flora (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE