Home Search Countries Albums

Flora Lyrics


Sasa inatosha kuwa single 
Nimepata baby kipenzi cha roho
Ananipenda kweli si mchezo
Mwaka hauishi navyotajika

Tabia tunaendana tunafanana
Nikija itwa baba naye aitwe mama 
Naomba kwa Maulana awe mke mwema
Isije mbele mbele siku akanichanganya

Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Nipeleke unavyotaka
Kwangu -- sina kama toy toy
Kile unachofanya nafurahi rahi
Moyo unakupenda
Nizamishe kwenye kina upendo wako
Utaniua kwa mapenzi yako mama ona

Nakuzimia hata bila makeup unavutia
We ni bonge la baby nakuimbia
Maji kwa mtima natulia
Iye iye iye..

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Hata kwa dumba sikuachi
Mtoto wa bei ghali, flora
Na vita vitani 
Kukuacha we haiwezekani, flora

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Flora (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IVAN KING

Tanzania

Ivan King is an artist from Tanzania based in the United States. ...

YOU MAY ALSO LIKE