Home Search Countries Albums

Siko Soko

ADASA

Siko Soko Lyrics


Ni kama sijitambui sijielewi
Amenizaba na pengi lake
Sijikumbuki mi mahututi
Amenifunga na nyororo
Am so confused, going crazy
Kiutanitani nishajipa
Zumbukuku kichizi
Kimchezomchezo nishazama

Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake
Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake

Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa
Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa

Is this love they call, the love they sing
Abracadabra
Am feeling loved again, am young again
Sinaga ubaya
Yani mini ni wake na nishapendwa
Nishachukuliwa
Moloyoni mwake aah nimebebwa
Nimekubaliwa
Mini ni wake na nishapendwa
Nishachukuliwa
Moloyoni mwake aah nimebebwa
Nimekubaliwa

Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake
Hua najipata nakula na yeye
Nalala na yeye
Naamka na yeye
Yaani me ni wake

Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa
Siko soko tena, nimenunuliwa
Hunipati tena nimechukuliwa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Siko Soko (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ADASA

Kenya

Adasa Dasa is  fast rising artist from Kenya signed under Dallaz Records. Her first song o ...

YOU MAY ALSO LIKE