Say Yes Lyrics

Hewa, hewa, hewa
Hewa, hewa, hewa
Hewa, hewa, hewa
Napokutazama kwa macho
Nataraji useme utakacho
Tubadilishane mawazo mmh
Napata faraja unenapo
Nakosa faraja uwazapo
Niko hapa kutimiza utakalo
Iyaa baby
Nafahamu fikra we ndo chaguo langu
Mwenye kujali hisia zangu
Nafahamu fikra we ndo ubavu wangu
Basi nikaribie usiwe mbali (Mbali)
Nikumbatie usiwajali (Jali)
Ninong'onezee sema nami (Dadii ii)
Nikaribie usiwe mbali (Mbali)
Nikumbatie usiwajali (Jali)
Ninong'onezee sema nami (Daddy, dadiii)
Say yes, say yes
Say yes, say yes
Nimesubiri sana siku kama hii
Mwenzangu sema ndio
Nipende mimi usibadili mawazo
Aaah eeh
Nilivyokwisha kwako jinsi na -
Usiniache na kilio
Fanya hima mpenzi, hima
Nakusubiri yaani
Niko na hamu gani
Nataka useme nami
Uliyoficha yaani
Yaweke hadharani
Yaliyojaa dhamani
Nifurahie jamani
Nakupenda mwandani
Basi nikaribie usiwe mbali (Mbali)
Nikumbatie usiwajali (Jali)
Ninong'onezee sema nami (Dadii ii)
Nikaribie usiwe mbali (Mbali)
Nikumbatie usiwajali (Jali)
Ninong'onezee sema nami (Daddy, dadiii)
Say yes, say yes
Say yes, say yes
Sema nami mpenzi
Sema nami
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Say Yes (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ADASA
Kenya
Adasa Dasa is fast rising artist from Kenya signed under Dallaz Records. Her first song o ...
YOU MAY ALSO LIKE