Washa Lyrics
Kasheli kako bindo ye
Wajue kwetu mindo ye
Hodari wa mitindo ye
Hanaa marindo ye
Kokote nitakwenda nae
Akapela nitaimba nae
Hawataki ndo nyimbo aipendae
Mi ndo baba nay eye mama ye
Atanikimkosa kidogo
Nikiwa mbali nae kidogo
Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Baby umeniwasha washa
Mi nesema umeniwasha washa
Baby umeniwasha washa
Mi nasema umeniwasha washa
Mwenzako moyo ushaukamata
Herufi zote A mkpa B
Natereza kwako pruu mpka maka
Naizo vocal zako yemi alade
Kiporo usikifanye kika chacha
Kasoro name sijakamilika
Niko rindo nakesha, sina ata presha
Dua na sala kuomba munu apoko
Wala sina mashaka mola akitaka
Wasotupenda waace waone don
Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Na Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Baby umeniwasha washa
Mi nesema umeniwasha washa
Baby umeniwasha washa
Mi nasema umeniwasha washa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Washa (Single)
Copyright : ©2022 Kings Music Records.All rights reserved.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE