Accueil Recherche Pays Albums

Washa

ABDUKIBA Feat. K2GA

Washa Lyrics


Kasheli kako bindo ye
Wajue kwetu mindo ye
Hodari wa mitindo ye
Hanaa marindo ye
Kokote nitakwenda nae
Akapela nitaimba nae
Hawataki ndo nyimbo aipendae
Mi ndo baba nay eye mama ye
Atanikimkosa kidogo
Nikiwa mbali nae kidogo

Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae

Baby umeniwasha washa
Mi nesema umeniwasha washa
Baby umeniwasha washa
Mi nasema umeniwasha washa

Mwenzako moyo ushaukamata
Herufi zote A mkpa B
Natereza kwako pruu mpka maka
Naizo vocal zako yemi alade
Kiporo usikifanye kika chacha
Kasoro name sijakamilika
Niko rindo nakesha, sina ata presha
Dua na sala kuomba munu apoko
Wala sina mashaka mola akitaka
Wasotupenda waace waone don

Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae
Na Kama pochi mi ndo bega nae
Kang’angana kama luba nae
Mi dereva kamutino ninae
Wanasema mi siachani nae

Baby umeniwasha washa
Mi nesema umeniwasha washa
Baby umeniwasha washa
Mi nasema umeniwasha washa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Washa (Single)


Copyright : ©2022 Kings Music Records.All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ABDUKIBA

Tanzanie

Abdu Kiba est un artiste musicien tanzanien. ...

YOU MAY ALSO LIKE