Home Search Countries Albums

Nimuimbie Nani

ABDUKIBA

Nimuimbie Nani Lyrics


Mengi kanifanyia
Ndio maana mpaka leo namtunza
Wengine ngumu kujua nilichozama aah

Ogopa zaidi ya akilia ayaya
Akiamini namtenga
Ndugu zake walishagombana
Kisa pendo kulinda

Navumilia shida 
Ndo maana sometimes nalia mwenyewe
Wanajiuliza vipi 
Tokea eti nitengane na yeye

Ni mvumilivu, 
Sijawai ona kama yeye
Nampenda 
Kumuacha siwezi

Ah nimuimbie nani?
Kama sio yeye, yeye
Nicheke na nani?
Kama sio naye

Nimuimbie nani?
Kama sio yeye, yeye
Nilie na nani?
Kama sio naye

Ndani ya moyo nina kitabu
Ninahifadhi mapenzi yote
Naamini utanipenda
Siku zote sitokufanya ujute

Siri zangu
Mwifadhi siri ni wewe
Hata hamu yangu
Wa kunistiri ni wewe

Wao kupe walimwengu 
Wana maneno ya kara, unaweza ukalia
Wana maneno chungu ya kukatisha tamaa
Penzi likapotea 

Kwanza mimi nakwamini
Tena unajua kiasi gani
Wewe umeridhika kuwa nami
Unaniamini

Geuza macho yako usiangalie chini
Muda wa kusema na mimi
Aiyoyoyoyo, yoyoyoyoyoyo

Ah nimuimbie nani?
Kama sio yeye, yeye
Nicheke na nani?
Kama sio naye

Nimuimbie nani?
Kama sio yeye, yeye
Nilie na nani?
Kama sio naye

Mmmh basi njoo
Nakupenda mwenzako
Basi njoo
Unipe raha zako

Basi njoo ooh oh
Nakupenda mwenzako
Basi njoo
Mmmh mmmh..

Ah nimuimbie nani?
Nicheke na nani?
Oooh nimuimbie nani?
Oooh nilie na nani?

Ayee..

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nimuimbie Nani (Single)


Copyright : (c) 2019 Rockstar Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ABDUKIBA

Tanzania

ABDU KIBA  is an artist from Tazania. He is Ali Kiba's younger brother. ...

YOU MAY ALSO LIKE