Home Search Countries Albums

Pagawa Lyrics


Pagawa ,Pagawa,pagawa, pagawa ,
pagawa,pagawa, pagawa
Attention Tuende Mission Ya kubanju na matilda, 
Kukopa tunakopa lakini hapana kulipa  
Kwenye toja tuna mbichwa za kuburn kata maji, 
Wikendi Ni ibada tukifuliza manamba

Pagawa, pagawa, pagawa, pagawa, pagawa

Pagawa nimepagawa matawi ninachanganya, 
Matanga ninachanganga  sadaka kwanza uliza, 
Kwa game Mii ndo Wanyama ya venye nawakanyaga. 
Una swali kwanza uliza after party Ni kunyambishwa

Pagawa, pagawa, pagawa, pagawa, pagawa, 
Bonga kilami ongeza methali Kanyaga lami 
Kama unitaki Sura Ni  monkey pongi Ni bagy 
Unataka money kwani Ni konyagi, Bhangi 

Ni chwani nasakanga daily 
Pizza ndo kanataka na makeki Sura 
D Meno E matako nayo wacha nikapee C

Pagawa, pagawa, pagawa, pagawa, pagawa,

Attention Tuende Mission Ya kubanju na matilda, 
Kukopa tunakopa lakini hapana kulipa  
Kwenye toja tuna mbichwa za kuburn kata maji, 
Wikendi Ni ibada tukifuliza manamba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pagawa (Single)


Added By : Babu Dionz

SEE ALSO

AUTHOR

045 DRILLERS

Kenya

...

YOU MAY ALSO LIKE