Pande Lyrics
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
(Alexis on the Beat)
Nimeng'ang'ana na wokovu wangu
Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana)
Nimepambana ingawa moyo wangu
Unaamini saa zingine wakana
Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu
Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
Niulize, nikwambie
Kuna utamu kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu
Niulize, niulize nikwambie
Kuna uhuru kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu
Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa
Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa
Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu
Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu
Upande wako ndo napatikana
Hakuna uchungu na laana
Upande wako ndo napatikana
(Kwa Yesu sihami)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Pande (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE