Home Search Countries Albums

Pande Lyrics


Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

(Alexis on the Beat)

Nimeng'ang'ana na wokovu wangu
Nikianguka nainuka nasonga (Songa sana)
Nimepambana ingawa moyo wangu
Unaamini saa zingine wakana

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Niulize, nikwambie
Kuna utamu kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Niulize, niulize nikwambie
Kuna uhuru kwa Yesu
Kuna furaha kwa Yesu

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa 

Nilidhani ninakuja fungiwa
Kumbe ni baraka napata napata
Aii mi nazidiwa

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Na nikikuita waitika (Aah)
Hujawai jificha (Aah)
Hata nikichoma picha (Aah)
We mwaminifu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii pande
Nitabaki hii nionane na Yesu

Upande wako ndo napatikana
Hakuna uchungu na laana 
Upande wako ndo napatikana

(Kwa Yesu sihami)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pande (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DAVID WONDER

Kenya

David Wonder is a Kenyan Gospel artist. ...

YOU MAY ALSO LIKE