Home Search Countries Albums

Mashine Lyrics


Umenifanya player nidate 
Sasa nahitaji prayers
Naomba mniombee 
Kwa maana nimekamatwa mzaeiya

Kwako sifurukiti iih iih
Kwako sifui dafuu uuh uuh
Kwako mi sibanduki iih iih
Kwako napata nafuu uuh uuh

Wewe kwangu ndio kila kituu
And you know that ndomana nafeel good
Wewe kwangu ndio kila kitu na unajua
Ndomana Naku feel tu
Nimedata na mahaba unayonipa 
Ama kweli mami yani wewe mashine

Uuuh the way nafeel we ukiwa na mimi
Hatari faya hatari faya
Udambwi dambwi ubaki na mimi
Hatari faya hatari faya

Wewe kwangu ndio kila kituu
And you know that ndomana nafeel good
Wewe kwangu ndio kila kitu na unajua
Ndomana Naku feel tu
Nimedata na mahaba unayonipa 
Ama kweli mami yani wewe mashine 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Emotional Attachment (EP)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

UMOJA SOUNDS

Kenya

Umoja Sounds is a music band from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE