Home Search Countries Albums

Zimenishika

ZZERO SUFURI

Read en Translation

Zimenishika Lyrics


[Intro]
Zimenishika zimenishika, zimenishika yooh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh
Eeeh, kiko kwa kichwa 
Kimejificha si ni kimbichwa yoh

Si ni kienyewe 
Kiko kwa kichwa kimejificha yoh
Kiko kwa kichwa kimejificha si ni kimbichwa 
Si ni kienyewe kiko kwa kichwa kimejificha 
Juu ni kimbichwa(Sikia Zzero)

Washa ki(Sssh sssh) ndio kiende chain
Nikivute kiingie (Sssh sssh) hadi kwa brain
Nikitam niki(Sssh sssh), saa ya rain
Niki ki(Sssh sssh)

Eeeh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh

Eeeh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh

Eeeh 
Kiko kwa kichwa kimejificha 
Si ni kimbichwa yoh
Si ni kienyewe kiko kwa kwa kichwa
Kimejificha yoh

Kiko kwa kichwa 
Kimejificha si ni kimbichwa 
Si ni kienyewe 
Kiko kwa kichwa kimejificha
Juu ni kimbichwa eeh

Washa ki(Sssh sssh) ndio kiende chain
Nikivute kiingie (Sssh sssh) hadi kwa brain
Nikitam niki(Sssh sssh), saa ya rain
Niki ki(Sssh sssh) eeh hadi kwa vein

Ati 
Washa ki(Sssh sssh) ndio kiende chain
Nikivute kiingie(Sssh sssh) hadi kwa brain
Nikitam niki(Sssh sssh), saa ya rain
Niki ki(Sssh sssh) eeh hadi kwa vein

Ju naifanya mara mingi nikohoe(Sssh sssh)
Kwa kifua(Sssh sssh)
Mi hukivuta(Sssh sssh)
Na mamorio wangu wote
Si wanapenda kuzi(Sssh)
Kutoka ngware hadi usiku 
Si hushindaga tuki(Sssh)

Tukilandi(Sssh sssh)
Nishawasha kingine(Sssh)
Kwanza peddy si ako inadi 
Zinafaa tuziende('Sssh)
Zikikam(Sssh sssh)
Tuzivute(Sssh sssh)
Zote zote ka(Sssh sssh)
Zote zote ka(Sssh sssh)

Cheki
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh

Eeeh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh

Si uki kohoa kohoa 
Hiyo ni dalili ya kunyongwa
Pitisha morio 
Utaitisha ni kubwa sana
Ivisha macho zikuwe red
Macho nyanya na
Usiseme ukweli 
Ukiulizwa unasema hapana

Ati niki(Sssh sssh)
Umevuta na unasema hapana
Maybe pengine, kwani morio mnajuana
Si kuna watu huwaga jo mnaweza kosana
Imekubalika we ki(Sssh sssh) bado mchana

Ati 
Ki kush kipass kwanza kitam kia ras
Ka umezoea choma utaskia niko kwa France
Unajua uko smart chini umedunga ma clarks
Unaeza vaa pams, toka mbio ruka bumps

Ati
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh

Eeeh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Mahali imefika 
Zimenishika zimenishika yoh
Zimenishika zimenishika, zimenishika yoh
Niki(Sssh sssh), kimenishika yoh
 
Yeah, yeah(Yeah yeah) 
Ni zzero, kama sos me ndio soss 
Mi ndio boss, mi ndio world boss
Eeeh cheki 
Bigup MeGaLink productions
Dagoretti, number 2 tuko ndani

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Zimenishika (Single)


Copyright : (c) 2019 RGM Empire.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

ZZERO SUFURI

Kenya

Zzero Sufuri (real name Jeremiah Chege) is an artist from Nairobi, Kenya based in Dagoretti.He came ...

YOU MAY ALSO LIKE