Home Search Countries Albums
Read en Translation

Mwizi Lyrics


Ayo lizer

Do you know

When you call me your queen

Mwenzako i feel so happy happy

Do you know

That you're my favorite human being

Unakuanga so lovely, lovely

Ah, jamani mwizii iiih moyo kaniibia

Nahisi kihirizi ah, kanichimbia

Mana uchizi si uchizi nachanganyikiwa

Mapenzi kikohozi, kwake nimepaliwa

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god kwako hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Ooh, tazama ndege anganiii

Wanaimba na kucheza

Zuuunzunzun we mama nyukilia wee

Niliomba dua nami nipate wa kunipendeza

Mungu tu alie mwema amenipa we

Naamini mungu wetu mwema ndo amenipa we

Omalinchanwa huoni ka tunaendana

Wenyewe tumetulizana

Tabia vimo twafanana saana

Mapenzi bwana hata tugombane mchana

Usiku tumeshapatana twacheka na kutekenyana sanaa

Jamani mwiziii moyo kaniibia

Nahisi kihirizi ah, kanichimbia

Mana uchizi si uchezi nachanganyikiwa

Mapenzi kikohozi, ah nimepaliwa

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Haki ya mama chochote nitafanya (nitafanya)

And i swear to god hoi nyang'anyang'a (nyang'anyang'a)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Copyright : Copyright ©2024 WCB Wasafi. All rights reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ZUCHU

Tanzania

Zuchu real name Zuhura Othman Soud Kopa (born November 22, 1993) is an artist/Singer/Songwriter/Perf ...

YOU MAY ALSO LIKE