Ashua Lyrics

Aaah aah, naa aaah ooh
(Mocco)
Marahaba, marahaba habibi
Dunda kwa mama ngala kupachua
Oooh mahaba, mahaba yamzidi
Kindi muchanga chaku chachua
Mmmh tamu zaituni
Tunda la peponi nalila (Nalila)
Game ya sakafuni
Tunadundisha na kipira (Kipira)
Napewa penzi sabuni
Linalonitakasa madhira
Huniita hunny hayuni
Mkali wa tatu bila (Bila)
Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Niongoze usukani
Kwenye penzi barabara
Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okey beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua
Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua
Tuwachome mapaka shume
Ooooh ooh ooh ooh ooh
Kweli mambo mazuri
Hayataki haraka ooh
Haraka ooh mmh
Kwa dua nimesubiri
Nimepewa nilichotaka ooh
Nilichotaka oooh mmh
Penzi linaninogesha (Noga)
Nampa mchicha ale (Noga)
Vinono vya kunenepesha (Noga)
Sambusa ya nyama tele (Noga)
Kisha namchangamsha (Noga)
Namchezea segere (Noga)
Mwali kujineng'emsha (Noga)
Huku napiga kelele (Aaah aah aah)
Upepo wa pwani
Umenipeleka bara
Wewe wangu usukani
Kwenye penzi barabara
Wakati wako tamba
Ashua ashua ashu ashua
Okey beiby jishongondoe
Ashua ashua ashu ashua
Na roho zao ziwaume
Ashua ashua ashu ashua
Lololo lolololo
Ashua ashua ashu ashua
Wakikuuliza mbona huonekani
Tunacheza solo na zumari ndani
Kuingiza kete shimoni
Tunacheza solo na zumari ndani
Makopa kopa kwa malavidavi
Tunacheza solo na zumari ndani
Michezo ya karata kulambishwa mavi
Tunacheza solo na zumari ndani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : I am Zuchu EP / Ashua (EP)
Copyright : ©2020 WCB Wasafi.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ZUCHU
Tanzania
Zuchu real name Zuhura Othman Soud Kopa (born November 22, 1993) is an artist/Singer/Songwriter/Perf ...
YOU MAY ALSO LIKE