Home Search Countries Albums

Nimemuona Bwana

ZABRON SINGERS

Read en Translation

Nimemuona Bwana Lyrics


Hivi je, waijua sababu, yakuinuliwa kwangu

Kubarikiwa kwangu

Hebu keti tutete pamoja nikwambie

Kuna siri hapa we hujui yu ya baraka zangu

Kuna mungu namjua ni mmoja tu si sawa na wengine

Hapangiwi na mwingine haweza kumpa mwingine

Hivyo, tulia tuli tulia shikilia hapo tulia

Ukiw na mungu tulia atakuletea mengi

Nimemuona huyu bwana akitenda kwa wengine

Na mimi amenikumbuka, ndio maana nasimulia

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Umeona nini ulipo?

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Ee tunajivunia, matendo yake bwana

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Na tukikutana kuabudu, wasogea karibu

Ili bwana ugange mioyo yetu

Bwana hakuna usilowezan pekee unaweza

Hivi bwana nitarudisha nini

Umetukuka juu mbinguni duniani kila mahali

We mungu ni mungu wa uweza

Tena bwana hupangiwi na mtu jua lina kutii

Milima bahari vya kutii

Siwezi sema mimi

Mambo mamgapi

Umenitendea

Nakushukuru, ndio maana naimba

Nikusifu wewe

Nimemuona bwana, akitenda katika maisha yangu

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Nimemuona bwana, hatika matendo yake siwezi pima

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ZABRON SINGERS

Tanzania

Zabron singers is an evangelism group found in Kahama Tanzania, since 2006 to 2015 more than sixty h ...

YOU MAY ALSO LIKE