Home Search Countries Albums
Read en Translation

Fimbo Lyrics


(Paul Maker on the beat)
Lo, lo, lo beat ya Paul

Hawatuwezi ooh nah nah (Ona)
Wanangu gang gang sana (Gang gang sana)
Mwanzo walituona local sana (Local sana)
Tunakiwasha ndo maana 

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Tunawakalisha yeah

Wakija vibao wanakaa
Wambea vikao watakaa
Wawaki nafasi ya kuongea siwapi
Huwanga nawanyanyapaa

Nimewapa nafasi ya kunijua jina
Wakataka na napokaa 
Leo napenda sababu nacho nikikosa
Habari zitatapakaa

Kung'aa ndo zetu mambo wee na mvetu
Watoto kibao wanalia DM sijui niwagongee tu
Na nawawashia full, hauzimi moto wa kifuu
Wanashangaa kuona rapper wa kisasa
Mwenye pigo za ki oldschool

Tatizo hawajulikani
Kwa hivi nawachana nitabattle na nani?
Kwa sasa michongo yote zamani
Naipiga X kama petty money
Ni mimi tu na hizi steam za mjani
Chuki ni chuki kwani kitu gani
Acha utani, rapper unaejaribu kumdiss
Kwa sasa haiwezekani

Si ndo tunakimbiza, bro tunawaumiza
Napata kinyaa nikitema yes sijui yai langu visa
Watawaishii visa, ka natoka naumiza
Kila unaponiona camera kibao utadhani naigiza

Hawatuwezi ooh nah nah (Ona)
Wanangu gang gang sana (Gang gang sana)
Mwanzo walituona local sana (Local sana)
Tunakiwasha ndo maana 

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Tunawakalisha

There they go, wanga there they go
Na nikija kwa mziki ni kisiki  you better know
Wananiombea dhiki, dhiki dhiki mwenzako
Maana ukija kwenye mziki kila nachofanya ni miracle

Marapper wadogo nawaonea
Mi ni kama gonjwa naenea
Wanaonijua kitambo naelewa
Toka enzi za uongo na umbea
Kwenye beat hawakai wanaelea
Na ikawa funzo mbona nawapea
Nawaambia ukweli sitawaongopea
Nawaona kama choo ndo maana nawanyea

Anayewakimbiza katika michano
Kama sio mimi ni nani mwingine
Dundo la Paul likipata verse ya mbuzi
Siku zote huwa mashine

Mwendo hoi nawakimbiza
Spidi kwenye kona haishuki usipime
Idadi ya watu wasionikubali
Imekuwa ndogo sana nahitaji wengine

Wanaobana nawataka wengine
Hata wambea nawataka wengine
Maana zama zimeshabadilika
Mpaka watoto napenda mashine

So ningependa wachawi wengine
Hata wanoko nipate wengine
Masnitch wengine wengine
Labda nitapata challenge pengine

Hawatuwezi ooh nah nah (Ona)
Wanangu gang gang sana (Gang gang sana)
Mwanzo walituona local sana (Local sana)
Tunakiwasha ndo maana 

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)

Tunawakalisha kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Kama (Fimbo kama kawa)
Tunawakalisha yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Fimbo (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

YOUNG LUNYA

Tanzania

Young Lunya is a hiphop artist from Tanzania signed under Rooftop Gang a hiphop record label ba ...

YOU MAY ALSO LIKE