Accueil Recherche Pays Albums

Unanikoleza

WINI Feat. ASLAY

Read fr Translation

Unanikoleza Lyrics


Ndoto niliyoota imetimia
Hey napata ninachotaka mia kwa mia
Ooh baby mitihani niliopita nimetusua
Naringa nimeridhika najivunia

Habibi, habibi nipepese nifaidi
Nipe joto ni baridi
Oooh, iiii

Gaidi, gaidi 
Nimetekwa kigaidi
Nimelewa sikaidi

Nifunge kamba nisiondoke
Nizibe nisione chochote
Nikianguka uniokote
Nideke deke

Wa konde mapaka, mapepe
Nilishe mpaka ninenepe
Wakituona watukwepe
Waweweseke

Unanikoleza unanieleleza
Oooh unanikoleza
Sina cha kusema najieleza we
Oooh najieleza

Unanikoleza unanieleleza
Oooh unanikoleza
Sina cha kusema najieleza we
Oooh najieleza

Mwana ana neema 
Anakula suro na minyama nyama
Chanda chema
Nakivisha pete kabla halijazama jua

Ilikuwa neema
Kukupata wewe naona zari sana
Nipende mama
Namuomba Mungu nazizidisha na dua

Akikula nakula
Akilala nalala
Nitalala nayee 

Mwachana kudura
Labda mapenzi ya Mola
Acha ni dhi ayerehere

Penzi lizani mizani kwa uzito
Hongera umeitimiza ndoto
Mtoto mtojo jicho jicho
Mi kwangu sherehe

Nifunge kamba nisiondoke
Nizibe nisione chochote
Nikianguka uniokote
Nideke deke

Wa konde mapaka, mapepe
Nilishe mpaka ninenepe
Wakituona watukwepe
Waweweseke

Unanikoleza unanieleleza
Oooh unanikoleza
Sina cha kusema najieleza we
Oooh najieleza

Unanikoleza unanieleleza
Oooh unanikoleza
Sina cha kusema najieleza we
Oooh najieleza

Kwakwaru, kwakwaru
Kwakwaru, kwakwaru
Kwakwaru, kwakwaru
Penzi kidalipo ayee

Kwakwaru, kwakwaru
Kwakwaru, kwakwaru
Kwakwaru, kwakwaru
Ukalale nacho

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unanikoleza (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WINI

Tanzanie

Wini is a fast rising female Bongo artiste from Tanzania. Beautiful vocals, mermersing dancer, she i ...

YOU MAY ALSO LIKE