Home Search Countries Albums

Poromoka

WILLY PAUL

Poromoka Lyrics


Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
Twende nikumake usimame, coz baby you are so fine
Baby do you know you blow my mind
Oh baby girl you are so fine

Girl you dey burst my mind oh
You make me go kakololo
Your body fine like wine girl
Una nyuma na manengo

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey....kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

The way your body been unatuconfuse
Ah unatuseduce
Mama kidogo reduce, coz unatuconfuse

Na baby ukinipea nitang'ang'ana
Aii nitang'ang'ana
Hapa kazini nashindwa
Nipee hata kwenye kiti
Oh nimeshindwa kidogo nilambe
Uliumbwa na maji ya moto
Baby we moto, na huna tabia mbaya
Uko sawa mama 

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey....kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Congratulations, kwa kufanya wanaume hawalali
Congratulations, kwa kufanya wanaume wakose amani
He he hey.... kwa kufanya wanaume hawalali
He he hey.... kwa kufanya wanaume wakose amani

Uko na nini mama, tunaporomoka
Kwa urembo wako mama, tunaporomoka
Kwani we ni nani, tunaporomoka
Unajiweza sana, tunaporomoka

Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama
Unafanya nawashwa mpaka kwenye nini
Unafanya ah nijikune mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : The African Experience (Album)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WILLY PAUL

Kenya

Born on  September 1, 1993, Wilson Abubakar Radido, better known as WILLY PAUL MSAFI,  ...

YOU MAY ALSO LIKE