Accueil Recherche Pays Albums

Kitanzi

WILLY PAUL

Kitanzi Lyrics


Ooooh Willy, Willy, Willy Paul Tena,
Na Gloria, Na Gloria,
Mama, Mama, Mama, Mama, aaaah {×3}
Msaidizi Mama,
Mama, Mama, Mama,

Jolly We Mjolly, Tatizo kubwa ninalo mimi,
Jolly we mjolly, tatizo kubwa ninalo mimi,
(Ninalo mimi)
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Naomba niskize, eh, Nipe sikio,

Najitia kitanzi, najitia kitanzi,
Nimechoshwa sana, ah, ah,
Haina haja kitanzi, haina haja kulia,
Haina haja kufa moyo, maulana bado anakupenda,

Oooh bila huruma, msela nateseka na, si utani,
Oooh kudharauliwa, kudhulumiwa wanaojiweza,
Oooh nifanye vipi mama?, (ooh nifanye vipi?)
Hivi niende wapi mama?, (ooh niende wapi?)
Why, why, why, why, why,
Why, why, why, why, why,
Hebu sikiliza mwana, nikwambie,
Mkamilifu hayuko, ila mwamba,
Tena yeye anafahamu vyema alivyokuumba,
Usiogope, rudi mwana atakupokea,
Laiti, ungalijua, jinsi anavyokupenda, ah,
Laiti ungalijua, yalivyo mengi aliyokuandalia ah,

Hivi willy nina shaka,
Shaka ya nini tena?,
Nahisi nimemkosea baba,
Ni wa huruma wewe njoo,
Kwa nini mama?
Atakurekebisha,
Je, atanikubali?,
Atanikubali?, Nafsi yangu,
Natamani Willy, kurudi kwake jalali,
Kurudi kwake jalali,
Lakini mami mi naogopa,
Wataniwia radhi,

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Kitanzi (Single)


Copyright : ©2017


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

WILLY PAUL

Kenya

Né le 1er Setepmbre 1993, Willy Paul Msafi, de son vrai nom Wilson Abubakar Radido, est ...

YOU MAY ALSO LIKE