Aheri Mama Lyrics

Oooh mama mama
Oooh mama mama
Oooh mama mama
Oooh mama mama
I could never ask for more
Mama amour, nyawa aheri mama
I could never ask for more
Mama Amour, nyawa aheri mama
And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama)
And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama)
Najua kuna wale hawanao mama, sio kupenda kwao
Najua kuna wale hawatanielewa na sio kupenda kwao
Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama
Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama
Ile deni mathe uliomba, nikumalizie mama
Na ile nguo ulitamabni ya jirani, nikununulie mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
I remember Salome
Nilipokosea ulinichapa kidogo
Na nilipokosa chakula mama
Ulitafuta kidogo
Ata sijui mbona nalia, mbona nawaza mama
Sijui mbona nalia, sijui mbona nawaza mama mama
(Iii iii)
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mathe najua unam-miss mume wako fathe
Ooh pole aisee, nimmiss kama mwana wake
Mama I got u, anything you want just tell me
Mama I got u, anything you want just tell me
Mama mama
Mama I love you mama, aheri mama
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : The African Experience (Album)
Copyright : (c) 2021 Saldido
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
WILLY PAUL
Kenya
Born on September 1, 1993, Wilson Abubakar Radido, better known as WILLY PAUL MSAFI, ...
YOU MAY ALSO LIKE