Home Search Countries Albums

Aheri Mama

WILLY PAUL

Aheri Mama Lyrics


Oooh mama mama
Oooh mama mama
Oooh mama mama
Oooh mama mama

I could never ask for more
Mama amour, nyawa aheri mama
I could never ask for more
Mama Amour, nyawa aheri mama

And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama)
And there is a day, ninakuita mama (Aheri mama)

Najua kuna wale hawanao mama, sio kupenda kwao
Najua kuna wale hawatanielewa na sio kupenda kwao
Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama
Ile nyumba fathe hakumalizia, nikumalizie mama
Ile deni mathe uliomba, nikumalizie mama
Na ile nguo ulitamabni ya jirani, nikununulie mama

Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama

I remember Salome
Nilipokosea ulinichapa kidogo
Na nilipokosa chakula mama
Ulitafuta kidogo
Ata sijui mbona nalia, mbona nawaza mama
Sijui mbona nalia, sijui mbona nawaza mama mama
(Iii iii)

Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama
Mama (Mama) aah mama

Mathe najua unam-miss mume wako fathe
Ooh pole aisee, nimmiss kama mwana wake
Mama I got u, anything you want just tell me
Mama I got u, anything you want just tell me 
Mama mama
Mama I love you mama, aheri mama 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : The African Experience (Album)


Copyright : (c) 2021 Saldido


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WILLY PAUL

Kenya

Born on  September 1, 1993, Wilson Abubakar Radido, better known as WILLY PAUL MSAFI,  ...

YOU MAY ALSO LIKE